#uncategorized

CAK: TATIZO LA INTANETI KUENDELEA

Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya kudhibiti mawasiliano nchini CAK David Mugonyi amesema kwamba huenda tatizo lililopo la intaneti  kutokana na kukatika kwa nyaya za chini ya bahari likachukua muda kutatuliwa.

Katika taarifa kwa vyombo vya Habari, Mugonyi amesema tatizo hilo lingalipo licha ya wahudumu wa mtandao kufanya juhudi za kuafikia muunganisho wa udhabiti kamili.

Aidha, amepongeza wahudumu wa mtandao ni kampuni za mawasiliano kwa juhudi zao za kuhakikisha uwepo wa intaneti.

Imetayarishwa na: Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *