#Local News

MURKOMEN ALIIDHINISHWA KUTEKELEZA MRADI WA UHAMAJI MIJINI

Baraza la Mawaziri limempa Katibu wa Wizara ya Barabara na Uchukuzi Kipchumba Murkomen idhini ya kutekeleza Mradi wa Kuboresha Uhamaji Mijini nchini Kenya (KUMIP).

Katika taarifa kwenye mtandao wa X Katibu wa Baraza la Mawaziri amesema kuwa mradi huo utahusisha kufufua Huduma ya Reli kwa Wasafiri na kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa mtandao mzima wa reli ya abiria wa kilomita 163 katika Eneo la Jiji la Nairobi.

Imetayarishwa na Janice Marete

MURKOMEN ALIIDHINISHWA KUTEKELEZA MRADI WA UHAMAJI MIJINI

MASHIRIKA 47 YAVUNJWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *