MAANDAMANO YA WAKENYA YALIHITAJIKA; RUTO
Rais william Ruto akizungumza katika hafla ya kuwaapisha mawaziri wapya ambapo amekiri kuwa wakenya walikuwa wamechoshwa na kiwango cha juu cha uzembe na kutowajibika kwa baadhi ya viongozi wakuu serikalini hivyo walikuwa na kila sababu kuandamana.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































