KINDIKI AITETEA AZMA YA “SINGAPORE MPYA”
Naibu rais Kithure Kindiki ametetea azma ya Rais William Ruto kuifanya Kenya kuwa miongoni mwa mataifa yaliyostawi kiuchumi duniani, akisema Kenya inaweza kuafikia viwango vya Singapore.
Wakosoaji wamekuwa wakilinganisha ukubwa wa Kenya na taifa hilo la Asia, ambalo lina ukubwa wa kilomita mrava 735 pekee.
Hata hivyo, Kindiki amesema kuwa hilo halifai kutumiwa katika kutathmini uwezo wa Kenya.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 









































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































