#International

MALEMA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA MITANO

Kiongozi wa upinzani nchini Afrika Kusini Julius Malema amehukumiwa kifungo cha miaka mitano gerezani baada ya kupatikana na hatia ya umiliki wa bunduki kinyume cha sheria na ufyatuaji mbele ya umma.

Wakili wa Malema amesema kuwa atakata rufaa dhidi ya uamuzi huo ili kumzuia kiongozi huyo wa EFF kutupwa gerezani.

Mwaka Uliopita Malema alihukumiwa kwa makosa Matano yakiwemo umiliki wa bunduki kinyume cha sheria pamoja na risasi, ufyatuaji wa bunduki mbele ya umma, pamoja na kuhatarisha maisha.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *