SERIKALI YA KENYA YAZUIA WAZIRI WA SOMALIA KUINGIA NCHINI
Waziri wa Somalia Abshir Bukari amenyimwa kibali cha kuingia kenya na kurudishwa Mogadishu .
Tukio hilo limetokea katika uwanja wa ndege wa jkia ambapo maafisa wa uhamiaji wanadaiwa kumzuia kuingia nchini kutokatana na maswali yanahusiana na passpoti ya kenya aliyokowa akitumia kusafiria.
Somalia imeitisha mazungumzo na balozi wa kenya nchini humo kutaka ufafanuzi kuhusu hatua ya kuwanyima raia wake ruhusa ya kuingia kenya.
Imetayarishwa na Hilda Ajema
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































