#Local News

WASHUKIWA 8 WAFIKISHWA MAHAKAMANI KISUMU KWA TUHUMA ZA VURUGU

Mbunge wa Embakasi Mashariki Babu Owino ameungana na Gavana wa Siaya James Orengo kwenye  Mahakama ya Kisumu kuwatetea watu wanane wanaohusishwa na vurugu zilizotokea tarehe 12 Julai  mjini Kisumu.

Inadaiwa watu hao wanane walikamatwa visivyo wakati walikuwa wakilinda wanachama wa vuguvugu la linda mwananchi katika hafla  iliyohudhuriwa na Gavana wa Siaya James Orengo na Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *