#Football #Sports

POLISI WAIMARISHA KIKOSI

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka nchini KPL Police FC, wamewasajili wachezaji 3 raia wa kigeni ili kuimarisha kikosi chake katikia juhudi za kutetea taji hilo ligi inapoingia katika mkondo wa mwisho.

Watatu hao ni Yves Koutiama wa Burkina Faso aliyeshiriki dimba la CHAN mwaka jana hapa nchini, kiungo mwenye uwezo wa kusakata nafasi mbali mbali Ernest Malonga na beki Bowamba Jacques, wote wa timu ya taifa ya Kongo Brazzaville.

Polisi wanatetea taji lao wakiwa katika nfasi ya 6 kwa pointi 22 baada ya mechi 13.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

POLISI WAIMARISHA KIKOSI

LEOPARDS WAKATWA KUCHA INGO DERBY

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *