#Local News

WANDAYI ATETEA KUJIHUSISHA NA SERIKALI

Waziri wa kawi Opiyo Wandayi, ametetea kujihusisha kwake na shughuli za kisiasa nchini licha ya ukosoaji kutokana na wadhifa wake serikalini, akisema amekuwa akitumia majukwaa hayo kuwaeleza wakenya kuhusu utendakazi wa serikali.

Akizungumza kwenye mahojiano na kituo kimoja cha runinga, Wandayi amepuzilia mbali kwamba hatua hiyo ni sawa na kampeni za mapema za kumpigia debe rais William Ruto kuchaguliwa kwa muhula wa pili.

Amekariri kuwa jukumu lake ni kuweka wazi mafanikio ya serikali kwa umma.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WANDAYI ATETEA KUJIHUSISHA NA SERIKALI

WANYAKUZI WAFIKIA ARDHI YA IKULU

WANDAYI ATETEA KUJIHUSISHA NA SERIKALI

IEBC YATAKA BILIONI 1 KWA MAAKULI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *