WADAU WA ELIMU WAPENDEKEZA SHULE ZIFUNGWE
Huku hayo yakijiri, wananchi na viongozi mbali mbali wameitaka serikali kubuni jopokazi la kuchunguza kiini cha mikasa ya moto shuleni na ghasia za wanafunzi ambazo zimekithiri nchini.
Baadhi ya washikadau wa elimu wamependekeza kwamba serikali ifunge shule kwa likizo fupi ili kuwapa wanafunzi muda bwa kupunguza msongo wa mawazo.
Haya yanajiri baada ya wizara ya elimu kushikilia kamba hakuna likizo fupi wala shughuli nyingine zisizo za masomo shuleni kwa muhula huu wa tatu.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































