#International

RAIS FAYE ATANGAZA HOLIDEI SENEGAL KUSHEREHEKEA AFCON

Rais wa Senegal Bassirou Diomaye Faye, ametangaza siku ya mapumziko nchini humo hii leo ili kuwapisha wananchi kusherehekea ubingwa wa dimba la taifa bingwa barani Afrika, AFCON, walilotwaa hapo jana nchini Morocco.

Katika tangazo, rais Faye amesema holidei hiyo inalenga kuwawezesha raia kushiriki sherehe za alichokitaja kama fahari kuu ya taifa.

Kupitia runinga ya kitaifa ya RTS baada ya ushindi wa simba hao wa Teranga, Faye amewahimiza raia kuadhimisha sherehe hizo kwa umoja na hadhi. 

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RAIS FAYE ATANGAZA HOLIDEI SENEGAL KUSHEREHEKEA AFCON

KESI YA SALASYA- NCIC YAAHIRISHWA

RAIS FAYE ATANGAZA HOLIDEI SENEGAL KUSHEREHEKEA AFCON

HATUA YA MAKUNDI YA KVF KENYA CUP

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *