#Local News

BUNGE LAIMARISHA UANGALIZI WA HAZINA MPYA

Bunge limewaondolea wakenya hofu ya fedha za hazina mpya ya miundombinu kufujwa kutokana na muundo wake wa awali, baada ya kuidhinisha kubuniwa kwa baraza litakalosimamia hazina hiyo.

Kwa mujibu wa mswada wa hazina hiyo, baraza hilo litamjumuisha Waziri wa fedha, gavana wa Benki Kuu ya Kenya, mwanasheria mkuu wa serikali, na wanachama wengine 6 wasio watumishi wa umma.

Miongoni mwa majukumu yake ni kuelekeza na kuishauri bodi ya hazina hiyo, huku bunge likijipa mamlaka ya kuidhinisha sera ya uwekezaji wa hazina hiyo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

BUNGE LAIMARISHA UANGALIZI WA HAZINA MPYA

EACC YAINUA MJELEDI

BUNGE LAIMARISHA UANGALIZI WA HAZINA MPYA

DUALE: SHA INAWAHUDUMIA WALIMU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *