#Local News

WAKENYA WALAZIMIKA KUHONGA KUHUDUMIWA- RIPOTI 

Imebainika kwamba upatikanaji wa huduma hapa nchini unategemea uwezo wa mtu kutoa hongo kwa walio katika nafasi za kutoa huduma za kimsingi kama vile vitambulisho, pasipoti za usafiri na ajira.

Kwenye ripoti yake mpya ya mwaka 2025, tume ya maadili na kukabili ufisadi, EACC, imesema hongo hutumika kuharakisha utoaji wa huduma, kuepuka faini au kupata huduma zinazopaswa kutolewa bila malipo.

Maafisa wa polisi, usajili wa kiraia na usafiri ndio wametajwa pakubwa kuhusika na ufisadi, EACC ikiwahimiza wakenya kutoa taarifa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAKENYA WALAZIMIKA KUHONGA KUHUDUMIWA- RIPOTI 

FLICK AFADHAIKA NA UAMUZI WA VAR

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *