#Local News

MGOMO WA WAUGUZI WAINGIA WIKI YA PILI

Huduma za afya zinaendelea kulemazwa katika hospitali za umma huku mgomo wa wauguzi ukiingia wiki ya pili na kuathiri maelfu ya wagonjwa nchini.

Wauguzi wa Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta wamejiunga na mgomo wa kitaifa unaoongozwa na Chama cha Wauguzi na Wakunga Kenya wakishinikiza utekelezaji wa Mkataba wa Pamoja wa Kazi wa mwaka 2025–2029.

Huduma za uzazi katika Hospitali ya Rufaa ya Coast General zimeathirika, huku wajawazito na wagonjwa wengine wakilazimika kutafuta matibabu katika hospitali za kibinafsi kutokana na kusimamishwa kwa huduma.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

NCIC: HOTUBA ZA CHUKI NI KOSA LA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *