#Football #Sports

LENKUPAE AJIUNGA NA FC TULSA YA MAREKANI

Mshambuliaji wa Harambee Stars William Lenkupae amehamia Marekani baada ya kusajiliwa na klabu ya FC Tulsa inayoshiriki Ligi ya Daraja la Pili nchini humo.

Lenkupae ataendeleza safari yake ya soka mjini Tulsa, Oklahoma, baada ya kukamilisha uhamisho wake kwenda klabu hiyo.

Kuhamia Marekani kunampa mshambuliaji huyo nafasi mpya ya kuendeleza kipaji chake na kujipima katika soka la kiwango cha ushindani la Marekani.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *