#Local News

OKANGO: UCHAGUZI LAZIMA UWE HURU NA WA HAKI

Uadilifu wa uchaguzi unaendelea kuwa hoja muhimu huku wito ukitolewa kwa wadau kuhakikisha uchaguzi mkuu ujao unafanyika kwa kuzingatia misingi ya sheria na demokrasia.

Mshauri wa Masuala ya Mikakati katika afisi ya Waziri wa Biashara ndogo na kati Fred Okango amesema uchaguzi hauwezi kuzingatiwa kuwa huru na wa haki ikiwa utagubikwa na vitendo vya hongo, ufisadi na vitisho.

Okango amesema wadau wa uchaguzi wanapaswa kuhakikisha mchakato mzima unazingatia misingi ya mfumo wa uchaguzi ili kulinda uhalali wa matokeo.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *