#Local News

NYUTU: KUMNG’OA RUTO SI KAZI RAHISI

Siasa za kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 zinaendelea kushika kasi huku viongozi wakitoa tathmini tofauti kuhusu uwezo wa upinzani kuiondoa serikali madarakani.

Seneta Joe Nyutu amesema kumwondoa Rais William Ruto madarakani si jambo rahisi, akisisitiza kuwa upinzani utalazimika kufanya kazi kwa bidii ili kufanikisha azma hiyo.

Nyutu amemtetea Rigathi Gachagua, akisema hajawadharau viongozi wengine bali amekuwa akihimiza kila mmoja kuongeza juhudi katika maandalizi ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *