#Football #Sports

MAN CITY YAANZA MAZUNGUMZO YA KUMSAJILI PEDRO NETO

Manchester City  imeanza mazungumzo ya awali kuhusu uwezekano wa kumsajili Pedro Neto, baada ya kuwasiliana moja kwa moja na wawakilishi wa mchezaji huyo.

Neto ametajwa kuwa miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na City iwapo Savinho ataondoka kuelekea Tottenham Hotspur

Hatima ya uhamisho huo sasa inategemea msimamo wa klabu ya Chelsea  kuhusu thamani watakayoweka kwa mchezaji huyo kabla ya mazungumzo kuendelea.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *