#Athletics #Sports

OMANYALA ASHINDWA KUNG’ARA KATIKA MBIO ZA MITA 100 MJINI GLASGOW

Ferdinand Omanyala amepoteza matumaini ya kutwaa taji lake la pili la Michezo ya Jumuiya ya Madola baada ya kumaliza katika nafasi ya sita kwenye nusu fainali ya mbio za mita 100 mjini Glasgow

Bingwa huyo wa zamani alitumia sekunde 10.19, akianza mbio kwa kasi lakini akapoteza nguvu

Mkenya mwenzake Meshack Babu pia alikosa nafasi ya kutinga fainali, hivyo kuhitimisha ushiriki wa Kenya katika mbio hizo bila mwakilishi kwenye hatua ya mwisho.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *