#Local News

METHU: WANANCHI WAKO TAYARI KULINDA KURA ZAO

Seneta wa Nyandurua John Methu amesema wananchi wameonyesha utayari wa kulinda kura zao wenyewe wakati wa uchaguzi, akirejelea matukio ya Ol Kalou.

Methu amesema hakuna watu waliokuwa wameajiriwa maalumu kulinda kura katika eneo hilo, bali wananchi wenyewe walihakikisha kura zao zinalindwa.

Amesema hatua hiyo inaonyesha kuwa wananchi wako tayari kushiriki kikamilifu katika kulinda haki yao ya kupiga kura.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *