#Local News

ULINGO WA SIASA WAPATA MGENI

Aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua amezindua chama kipya cha Democracy for the Citizens Party DCP, anachopanga kukitumia kwenye uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2027.

Akizungumza kwenye hafla hiyo, Gachagua amesema anapanga kuzuru taifa zima akikusanya maoni ya wakenya kabla ya kuandika manifesto ya chama chake kipya.

Kinara wa chama hicho ni Gachagua mwenyewe, kaimu naibu wake akiwa seneta wa zamani wa Kakamega Cleophas Malala.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *