#Local News

WATOTO, 15, UFARANSA WAZUIWA MITANDAONI

Wabunge nchini Ufaransa wamepitisha mswada ambao huenda ukapiga marufuku Watoto walio chini ya umri wa miaka 15 kutumia mitandao ya kijamii, hatua ambayo imeungwa mkono pakubwa na Rais Emmanuel Macron kama njia ya kuwalinda Watoto dhidi ya matumizi kupita kiasi ya sim una vifaa nyingine vya kielektroniki.

Mswada huo ulipitishwa na bunge la kitaifa ambalo ni la chini, na utwasilishwa katika bunge la seneti kabla ya kuwa sheria.

Kwenye mtandao wa kijamii wa X, Rais Macron ametaja uamuzi huo kuwa katua kubwa katika kuwalinda Watoto wa Ufaransa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MAAFISA WA CAF KUKAGUA VIWANJA KENYA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *