#Local News

WIZARA YA ELIMU YASISITIZA  MPITO WA JSS UPO SAWA

Waziri wa Elimu Julius Ogamba na RaiS William Ruto wamesisitiza kuwa mpito wa wanafunzi wa gredi ya kumi imefikia asilimia 99 kinyume na takwimu kubaini kua kiwango cha wanafunzi waliojiunga na gredi hiyo ni cha chini

Akizungumza mjini Naivasha Ruto ametaja umuhimu wa wazazi kulipa karo kupitia mfumo wa E-Citizen ili kuzuia ufujaji wa pesa.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *