#Local News

JAJI WARSAME AAPISHWA RASMI

Jaji Mohamed Warsame ameapishwa rasmi hii leo kuwa jaji mkuu wa mahakama ya upeo nchini katika hafla iliyofanyika kwenye  ikulu ya Nairobi,

Warsame anakua jaji wa kumi na nne wa mahakama ya juu zaidi nchini baada ya  kujaza nafasi ilyowachwa wazi na jaji Mohamed Ibrahim aliyeaga dunia Decemba mwaka jana.

Rais William Ruto alimteua rasmi jaji huyo kupitia notisi kwa gazeti la serikali lililochapishwa tarehe 5 mwezi Mei mwaka huu.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

JAJI WARSAME AAPISHWA RASMI

JAJI WARSAME AAPISHWA RASMI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *