#Local News

UDA NA ODM WAKUTANA NAIVASHA KUJADILI MWELEKEO WA KISIASA

Viongozi wa vyama vya UDA na ODM wamekutana mjini Naivasha, Kaunti ya Nakuru, huku kukiwa na matarajio kuwa mpango wa kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 utajadiliwa.

Mkutano huo unafanyika wakati vyama hivyo vikiendelea kujenga uhusiano wa kisiasa.

Mkutano huo unatarajiwa kujadili masuala mbalimbali ya kisiasa, ikiwemo ushirikiano kati ya UDA na ODM kuelekea uchaguzi wa mwaka 2027. Viongozi hao pia wanatarajiwa kujadili namna ya kuimarisha ushirikiano huo katika maeneo mbalimbali ya nchi.

Imetayarishwa na Jesca Angeyo

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *