#Local News

KAUNTI 18 ZIPO HATARINI  KUTOKANA NA EL NIÑO

Serikali imezitambua kaunti 18 zilizo katika hatari ya kukumbwa na athari za El Niño, huku ikiweka mikakati ya kukabiliana na madhara yanayoweza kusababishwa na mvua nyingi.

Idara ya Hali ya Hewa imesema kuna uwezekano wa nchi kupata mvua nyingi kuliko kawaida kuanzia Oktoba mwaka huu,huku athari zake zikitarajiwa kuendelea hadi mwanzoni mwa mwaka ujao.

Nairobi, Mombasa na Kisumu zimetajwa kuwa miongoni mwa maeneo ya mijini yaliyo katika hatari kubwa, huku serikali ikiendelea kuandaa hatua za kukabiliana na mafuriko na athari nyingine zinazoweza kujitokeza.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

KAUNTI 18 ZIPO HATARINI  KUTOKANA NA EL NIÑO

RUTO ATETEA UCHUMI WA NCHI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *