#Local News

FAMILIA KADHAA MAKUENI ZAOMBOLEZA VIFO VYA JAMAA ZAO

Familia kadhaa katika eneo la Kibwezi, Kaunti ya Makueni, zinaomboleza baada ya watu saba kufariki katika ajali ya barabarani iliyotokea Ijumaa Agosti 14, 2026.

zaidi ya watu 30 walijeruhiwa katika ajali hiyo huku manusura wakikimbizwa hospitalini kwa matibabu.

Familia za waliofariki sasa zimeanza maandalizi ya mazishi huku ndugu na marafiki wakiomboleza vifo hivyo. Tukio hilo limezua tena wasiwasi kuhusu usalama wa barabara na umuhimu wa kuchukua tahadhari ili kupunguza ajali na vifo barabarani.

Imetayarishwa na Jesca Angeyo

FAMILIA KADHAA MAKUENI ZAOMBOLEZA VIFO VYA JAMAA ZAO

WAJUMBE WA ODM WAKUTANA  NAIROBI

FAMILIA KADHAA MAKUENI ZAOMBOLEZA VIFO VYA JAMAA ZAO

WANAFUNZI WAWILI KERICHO WAUAWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *