#Football #Sports

MAN CITY KUKAMILISHA MAZUNGUMZO YA KUMSAJILI BOUADDI

Manchester City na Lille zinatarajiwa kufanya mazungumzo mapya kuhusu uhamisho wa kiungo Ayyoub Bouaddi, huku pande hizo zikifikia hatua za mwisho za makubaliano

Bouaddi anasubiri tu idhini ya kusafiri kwa ajili ya vipimo vya afya kabla ya kukamilisha uhamisho wake na kujiunga na Manchester City

Mazungumzo hayo yanaendelea huku klabu hizo zikilenga kukamilisha rasmi uhamisho wa Bouaddi katika hatua za mwisho za mchakato huo.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *