#Local News

NDINDI NYORO AMTAKA MURKOMEN KUJIUZULU

Kiongozi wa chama cha PPK, Ndindi Nyoro, amemtaka Waziri wa Usalama wa Ndani, Kipchumba Murkomen, kujiuzulu akisema serikali imeshindwa kudhibiti kuongezeka kwa vurugu katika mikutano ya kisiasa nchini

Akizungumza katika kaunti ya Murang’a Nyoro amesema licha ya serikali kuahidi kuwachukulia hatua wahusika na wafadhili wa ghasia hizo, hakuna aliyekamatwa hadi sasa

Amesisitiza kuwa upinzani utaendelea kuwa na umoja kwa lengo la kushinda uchaguzi mkuu wa 2027.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *