#Local News

MGAWANYIKO ODM: KINARA ALAUMIWA

Baadhi ya viongozi wanaoegemea chama cha ODM wamemkosoa kinara wao Oburu Oginga kuhusiana na misukosuko inayokumba chama hicho, wakidai Oginga ameonyesha miegemeo.

Miongoni mwao ni naibu kinara hicho na seneta wa Vihiga Godfrey Otsotsi, akisema Oginga na kiongozi wa walio wachache bungeni Junet Mohammed wamepuuza wosia wa mjane wa kinara mwanzilishi wa ODM Raila Odinga- Ida Odinga.

Ametoa wito wa kusuhishwa kwa migawanyiko chamani.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MGAWANYIKO ODM: KINARA ALAUMIWA

AMISI ADAI RUTO ALINUNUA ODM

MGAWANYIKO ODM: KINARA ALAUMIWA

BINGWA POLICE FC AZIDI KUJIKWAA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *