#Local News

8-4-4 GRADE 10? WALIMU WATISHIA

Baadhi ya walimu wakuu katika shule za upili nchini wametishia kuanza kuwafunza wanafunzi wa gredi ya 10 kutumia vitabu vya mtaala wa zamani 8-4-4 kutokana na ukosefu wa vitabu vya gredi hiyo iliyo chini ya mtaala wa umilisi CBE.

Hii ni kutokana na hatua ya serikali kukosa kusambaza vitabu vya gredi hiyo hadi sasa, na hivyo masomo hayo kukosa kuanza katika nyingi ya shule za sekondari ya juu nchini.

Awali, serikali iliahidi kuwasilisha vitabu hivyo kufikia katikati mwa mwezi huu.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *