#Sports

SERIKALI YATOA MUDA WA MIEZI TISA KUKAMILISHA VIWANJA NCHINI

Katibu Mkuu wa Michezo Elijah Mwangi amesema serikali inalenga kukamilisha ujenzi na ukarabati wa miundombinu yote ya michezo inayoendelea nchini ndani ya miezi tisa ijayo

Mwangi amesema serikali ya kitaifa inashirikiana na serikali za kaunti kuhakikisha wanakandarasi wanafuata ratiba na miradi inakamilika kwa wakati uliopangwa

Hatua hiyo inalenga kuboresha miundombinu ya michezo nchini, huku maeneo mbalimbali yakiendelea na ujenzi, ukarabati na uboreshaji wa viwanja na vituo vya michezo.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *