#Local News

MGAO WA FEDHA ZA KAUNTI HATIMAYE UMEWASILI

Baraza la bajeti na uchumi baina ya serikali kuu na serikali za kaunti IBEC limepongeza wizara ya fedha kutoa kwa wakati fedha za kaunti za July na Agosti

Akizungumza baada ya kikao cha 30 cha IBEC jijini Nairobi Naibu wa Rais profesa Kithure kindiki amesema amerithishwa na kupitishwa kwa sheria za mgao wa mapato kwa kaunti mwaka 2026

Mwenyekiti wa baraza la magavana COG Ahmed Abdulahi ameitaka wizara ya fedha kuondoa vikwazo vinavyo chelewesha matumizi ya fedha hizo.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *