#Football #Sports

OKWARO ALENGA KUNG’AA AFCON NA KUINGIA KIKOSI CHA CHAN

Beki wa timu ya taifa ya Kenya chini ya miaka 20, Manzur Okwaro, analenga kung’aa kwenye mashindano ya AFCON kwa vijana na kupata nafasi katika kikosi cha CHAN.

Okwaro mwenye umri wa miaka 19, alicheza mechi yake ya kwanza kwa timu ya wakubwa dhidi ya Gabon baada ya kumvutia kocha Benni McCarthy.

Mchezaji huyo wa KCB anasema imani ya kocha McCarthy imempa motisha zaidi kuendeleza kipaji chake.

Imetayarishwa na Janice Marete

OKWARO ALENGA KUNG’AA AFCON NA KUINGIA KIKOSI CHA CHAN

GACHAGUA, NATEMBEYA WALILIA SERIKALI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *