#Local News

LUSAKA AHIMIZA UADILIFU SERIKALINI MWAKE

Maafisa wa serikali ya kaunti ya Bungoma wametakiwa kudumisha uadilifu, umoja na uwajibikaji serikali hiyo inapoangazia kuimarisha utendakazi na ukamilishaji wa miradi ya maendeleo iliyokwama.

Akizungumza mapema leo kwenye kikao na wafanyakazi hao, gavana wa Bungoma Ken Lusaka amesema hatua hiyo ni muhimu katika utendakazi wa serikali hiyo kwa wananchi.

Kulingana na naye, migawanyiko itakwamisha maendeleo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

LUSAKA AHIMIZA UADILIFU SERIKALINI MWAKE

AMORIM ATIMULIWA MAN U

LUSAKA AHIMIZA UADILIFU SERIKALINI MWAKE

ALAI AKANA KUMSHAMBULIA BABU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *