KENYA YAKABILIWA NA UHABA WA MAFUTA
Kenya inakabiliwa na uhaba wa mafuta ambao huenda ukaathiri uchukuzi, madereva wakiripoti ugumu wa kupata bidhaa hiyo licha ya serikali kusisitiza kuwa taifa lina akiba ya kutosha.
Miongoni mwa maeneo ambako foleni ndefu zimeshuhudiwa katika vituo vya kuuza mafuta ni Magharibi mwa nchi, Kisii na bonde la ufa.
Wameitaka serikali kuweka wazi hali halisi ya kiwango cha mafuta nchini.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 



























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































