#Local News

KUNA UFADHILI WA KUTOSHA, OGAMBA

Ufadhili wa mikopo ya elimu ya juu HELB utatosha kuwafadhili wanafunzi wote wanaotarajiwa kujiunga na vyuo vikuu mbali mbali mwezi ujao.

Haya ni kwa mujibu wa waziri wa elimu Julius Ogamba anayesema serikali itatenga fedha za kutosha ili kuhakikisha kuwa kila mwanafunzi anashughulikiwa ipasavyo.

Aidha amesema kuwa karo ya vyuo vikuu itapunguzwa huku akipuuzilia mbali madai kuwa hatua hiyo itasababisha hasara kwa vyuo vilivyo na madeni.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *