MUSALIA MUDAVADI AKIRI KUWA UCHAGUZI UJAO UTAKUWA WA HURU NA HAKI
Mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi amezungumza akiwa kwenye kikao tofauti amesema uchaguzi mkuu ujao utakuwa huru na wa haki
Mudavadi amepuuzilia mbali hofu ya viongozi wa upinzani kwamba huenda matokeo ya uchaguzi haswa ya urais yakavurugwa na serikali ili kumbakiza rais William RUTO madarakani.
Imetayarishwa na Hilda Ajema
English 





































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































