#Local News

SAKAJA: WAFANYABIASHARA WA GIKOMBA SHARTI WAHAME

Serikali ya kaunti ya Nairobi imekariri kuwa wafanyabiashara wote walio ndani ya umbali wa mita 50 kutoka Mto Nairobi katika soko la Gikomba ni sharti wahame licha ya pingamizi hapo jana, ikisema wametengewa sehemu mbadala sokoni humo kwa muda ujenzi wa soko jipya unapoendelea.

Zoezi la kutathmini umbali huo hapo jana lilisitishwa ghafla baada ya wafanyabiashara hao kuzua rabsha, kwa misingi kwamba walikubaliana umbali wa mita 30 na wala si 50.

Kulingana na gavana Johnson Sakaja, hatua ya mazungumzo imepita.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

SAKAJA: WAFANYABIASHARA WA GIKOMBA SHARTI WAHAME

MVUA KUBWA KUANZA ALHAMISI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *