#Local News

WAUGUZI KISUMU NA KAKAMEGA WAGOMA KUSITISHA MGOMO

Wauguzi katika kaunti za Kisumu na Kakamega wameapa kuendelea na mgomo wao hadi matakwa yao yatakapotimizwa, wakisisitiza kuwa hawako tayari kurejea kazini bila suluhu ya kudumu

Wahudumu hao wa afya wamesema wakati wa mazungumzo umepita, na sasa serikali za kaunti zinapaswa kukubaliana na matakwa yao na kukutana nao mezani kama washirika wenye usawa

Wamesisitiza kuwa mgomo huo utaendelea hadi pande zote zitakapofikia makubaliano yanayoshughulikia kikamilifu malalamishi na matakwa ya wauguzi.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *