#Local News

SENETA WA MAKUENI AILAUMU SERIKALI KWA KUONGEZEKA KWA UTEKAJI NYARA

Seneta wa Makueni ameilaumu serikali kutokana na kuongezeka kwa visa vya utekaji nyara nchini.

Kauli hiyo inajiri baada ya mhariri wa Standard Group kutekwa nyara na baadaye kuachiliwa.

Seneta huyo ameirai serikali kuchukua hatua za haraka kuhakikisha usalama wa Wakenya unalindwa.

Imetayarishwa na Jesca Angeyo

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *