#Local News

KAUNTI SABA NCHINI ZIKO HATARINI KWA MAAMBUKIZI YA MPOX

Kaunti saba nchini bado ziko katika hatari ya maambukizi ya ugonjwa wa mpox.

Jumla ya watu 1,298 wameripotiwa kuambukizwa ugonjwa huo nchini.

Mamlaka za afya zimeendelea kuwataka wananchi kuchukua tahadhari na kufuata ushauri wa wataalamu ili kuzuia kuenea kwa mpox.

Imetayarishwa na Jesca Angeyo

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *