#Local News

ESTHER PASSARIS AWATAKA WAKENYA KUPUNGUZA MATUMIZI YA SUKARI

Mwakilishi wa wanawake  Nairobi, Esther Passaris, amewataka Wakenya kupunguza matumizi ya sukari.

Amesema fedha zinazotumika kununua sukari zinaweza kuelekezwa kulipa michango ya afya kupitia SHA.

Passaris pia amesema kupunguza sukari kutasaidia kupunguza magonjwa hatari na kuboresha afya.

Imetayarishwa na Jesca Angeyo

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *