#Local News

WARUNDI WAMEFIKA KATIKA UBALOZI WAO HAPA KENYA KUJUA HATMA YAO

Mamia ya raia wa Burundi wamefika katika ubalozi wao hapa nchini kufuatia hofu kuhusu hatma yao.

Hii ni baada ya Rais kutangaza kuwa raia wa kigeni wasio na vibali halali wanapaswa kurejea katika nchi zao.

Raia hao wanatafuta maelezo kuhusu hatua hiyo na namna itakavyowaathiri.

Imetayarishwa na Jesca Angeyo

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *