#Local News

SERIKALI IMEIMARISHA MAANDALIZI YA KUKABILIANA NA ATHARI ZA ELNINO

Serikali imeimarisha maandalizi ya kukabiliana na athari zinazoweza kusababishwa na mvua za El Niño.

Hatua hiyo inalenga kupunguza madhara kwa wananchi na miundombinu, huku serikali ikishirikiana na wadau mbalimbali.

Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari na kufuata maelekezo ya mamlaka husika.

Imetayarishwa na Jesca Angeyo

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *