#Local News

SIFUNA AMEMKARIBISHA MUKHISA KITUYI KWENYE SIASA ZA LINDAMWANANCHI

Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna amemkaribisha aliyekuwa Waziri wa Biashara Mukhisa Kituyi katika harakati za kisiasa za Linda Mwananchi.

Kituyi alitembelea ofisi ya Sifuna Jumatano asubuhi, akiwa ameandamana na Seneta wa Kakamega Boni Khalwale na Seneta wa Vihiga Godfrey Osotsi.

Sifuna amesema Kituyi ni nyongeza muhimu kwa vuguvugu hilo linaloungwa mkono na upinzani, huku likijiandaa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027.

Imetayarishwa na Jesca Angeyo

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *