#Football #Sports

ENZO FERNÁNDEZ AKAMILISHA VIPIMO KABLA YA KUJIUNGA MAN CITY

Kiungo wa Chelsea Enzo Fernández amekamilisha vipimo vya afya kabla ya kuhamia Manchester City katika dili linalotarajiwa kugharimu zaidi ya pauni milioni 125

Chelsea imekubali kumuuza Fernández baada ya mazungumzo marefu, huku nyaraka na taratibu rasmi za uhamisho huo zikitarajiwa kukamilishwa

Fernández sasa yuko hatua za mwisho kujiunga na Manchester City, katika usajili ambao unatarajiwa kuwa miongoni mwa dili kubwa zaidi katika historia ya klabu hiyo.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *