KNHCR IMEONYASERIKALI DHIDI YA KUWAGUA WAFANYIBIASHARA WA KIGENI
Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu nchini Kenya, KNCHR, imeonya serikali dhidi ya kuwabagua wafanyabiashara wa kigeni wakati wa kutekeleza sheria.
KNCHR imesema imepokea malalamiko kutoka kwa wahamiaji na wakimbizi kuhusu vitisho, vitisho vya kulazimishwa na ubaguzi.
Tume hiyo imesema serikali inapaswa kuhakikisha hatua dhidi ya wafanyabiashara wa kigeni zinafuata sheria na kuheshimu haki za binadamu.
Imetayarishwa na Jesca Angeyo
English 







































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































