#Local News

KDF YABAINISHA WALIOUAWA LAMU

Watu 5 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Al-Shabaab waliouawa hapo jana katika msitu wa Boni kaunti ya Lamu walikuwa wakipanga njama ya kuteka kituo cha usalama kilicho eneo hilo.

Haya yamebainishwa na idara ya jeshi la ulinzi KDF, ambayo imesema maafisa wake waligundua na kusambaratisha kambi ya muda ya kundi hilo na kuwaua 5 hao ila wengine wakatoroka na majeraha.

Kupitia taarifa rasmi, KDF imewataka wakazi kuwa waangalifu licha ya keshi kutibua shambulio la kigaidi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KDF YABAINISHA WALIOUAWA LAMU

SI MIMI WALLAHI, ALAI

KDF YABAINISHA WALIOUAWA LAMU

MIAKA 15 YA KATIBA YAADHIMISHWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *