MAHANGAIKOYA KRISMASI
Ongezeko la nauli, uhaba wa magari na msongamano barabarani ndizo changamoto kuu kwa wasafiri msimu huu wa Krisimasi, wahudumu wa magari wakiripotiwa kupandisha nauli hadi maradufu kutokana na idadi ya juu ya wasafiri.
Wengi wa wasafiri wamekwama katika vituo vya magari jijini Nairobi kutokana na ukosefu wa magari, huku wakitoa wito kwa serikali kudhibiti sekta ya matatu ili kuwalinda dhidi ya kupunjwa na wahudumu.
Barabara zilizoathirika pakubwa na msonagamano ni za kuelekea Magharibi mwa nchi.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 











































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































